Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe, Jumanne Sagini alipotembelea Ofisi ya Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania ili kuzungumza na watumishi wa Tume hiyo tarehe 8 Mei 2024.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe, Jumanne Sagini alipotembelea Ofisi ya Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania ili kuzungumza na watumishi wa Tume hiyo tarehe 8 Mei 2024.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Gaspar Makondo alipotembelea ofisi za Tume ya kurekebisha Sheria na kuzungumza na Watumishi Tarehe 7 mei 2024.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Gaspar Makondo alipotembelea ofisi za Tume ya kurekebisha Sheria na kuzungumza na Watumishi Tarehe 7 mei 2024.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Gaspar Makondo alipotembelea ofisi za Tume ya kurekebisha Sheria na kuzungumza na Watumishi Tarehe 7 mei 2024.
Waziri, Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dr. Pindi Chana (katikati) wakiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania(LRCT) ( kulia) Mhe Jaji Winfrida Beatrice Korosso na (kushoto) ni Katibu wa Tume hiyo Bw. George Mandepo wakati wa mkutano wa baraza la wafanyakazi lililofanyika katika ukumbi wa Shule ya Uongozi Mwl. Julis Nyerere iliyopo Kibaha Pwani.
Waziri, Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Balozi Dr. Pindi Chana (katikati) wakiwa na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania(LRCT) ( kulia) Mhe Jaji Winfrida Beatrice Korosso na (kushoto) ni Katibu wa Tume hiyo Bw. George Mandepo wakati wa mkutano wa baraza la wafanyakazi lililofanyika katika ukumbi wa Shule ya Uongozi Mwl. Julius Nyerere Kibaha Pwani.
WAziri wa Katiba na Sheria Dr. Pindi Chana akiwa na wakuu wa vitengo vya Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiwa katika .Picha ya Pamoja
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mhe, Jaji Winfrida Beatrice Korosso akiongea jambo wakati wa Mkutano wa Baraza la wafanyakizi lililofanyika katika ukumbi wa Shule ya Uongozi Mwl. Julius Nyerere iliyopo Kibaha Pwani
Dr. Pindi Chana Waziri wa Katiba na Sheria akiwa na Katibu Mtendaji Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. George Mandepo wakati wa Mkutano wa Baraza la wafanyakazi uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Shule ya Uongozi ya Mwl. Julius Nyerere iliyopo Kibaha Mkoani Pwani
Katibu Mtendaji Tume ya kurekebisha sheria Tanzania George N. Mandepo alipoongoza kikao kazi kilichofanyika Tarehe 3 April 2024 katika ukumbi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT)
Katibu wa kikao kazi Afisa Sheria Mkuu Anjela Shila akiendelea na majukumu wakati wa kikao hicho kilichofanyika Tarehe 3 April 2024 katika ukumbi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT)
Wataalam wa Sheria wakiwa katika kikao kazi kilichofanyika Tarehe 3 April 2024 katika ukumbi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT)
Bi. Alena Sakhonchick (wa Kwanza kushoto) Mtaalam wa Biashara na Sheria kutoka Benki ya Dunia wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi kutoka Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Bw. Burhani Kishenyi Naibu Katibu (wa pili kushoto) akifuatiwa na Dr. Kalekwa Kasanga Mwanasheria Mwandamizi na Bi Zainab Chanzi.(wa mwisho kulia ) baada ya kumaliza kikao kilichofanyika katika ofisi za Benki ya Dunia, DSM tarehe 14/3/2024.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani Willium Erio alieketi kati kati akiwa na katibu mtendaji wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania alieketi upande wa kulia kwake Pamoja na wadau wengine wa masuala ya sheria walipokutana kujadili Maboresho ya sheria ya Makampuni ya sura namba 212 na sheria ya usajili ya majina ya Biashara sura namba 213 Tarehe 11 Machi 2024 Dar esa salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani Willium Erio alieketi kati kati akiwa na katibu mtendaji wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania alieketi upnde wa kulia kwake Pamoja na Manaibu Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania na wadau wengine wa masuala ya sheria walipokutana kujadili Maboresho ya sheria ya Makampuni ya sura namba 212 na sheria ya usajili ya majina ya Biashara sura namba 213 Tarehe 11 Machi 2024 Dar esa salaam.
Dkt. Kalekwa Kasanga akiwasilisha mada wakati wa Kikao kazi kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar kwa lengo la kujadiliana namna ya kuimarisha ushirikiano wao katika kazi za mapitio na utafiti wa sheria mbalimbali za Muungano
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) na Tume ya Kurekebisha Sheria ya Zanzibar wakiwa kwenye Kikao kazi katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar kwa lengo la kujadiliana namna ya kuimarisha ushirikiano wao katika kazi za mapitio na utafiti wa sheria mbalimbali za Muungano hasa zinazosimamia mambo ya maadili ili kupunguza kadhia ya ukosefu wa maadili katika jamii
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) na Tume ya Kurekebisha Sheria ya Zanzibar wakiwa kwenye Kikao kazi katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar kwa lengo la kujadiliana namna ya kuimarisha ushirikiano wao katika kazi za mapitio na utafiti wa sheria mbalimbali za Muungano hasa zinazosimamia mambo ya maadili ili kupunguza kadhia ya ukosefu wa maadili katika jamii
Wanawake kutoka Tume ya kurekebisha sheria Tanzania LRCT waliposhiriki maadhimisho ya Siku ya Mwanamke Duniani tarehe 8 Machi 2024 yaliofanyika kimkoa katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Wanawake kutoka Tume ya kurekebisha sheria Tanzania LRCT waliposhiriki maadhimisho ya Siku ya Mwanamke Duniani tarehe 8 Machi 2024 yaliofanyika kimkoa katika Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma.
Naibu Katibu Tume ya Kurekebisha sheria Tanzania (LRCT) Bi. Zainab Chanzi akikabidhi misaada alipoongozana na Watumishi wa Tume hiyo Kutoa Misaada kwa wenye Mahitaji Maalum Wazee Wasioona Matembe Bora kilichopo Buigiri mkoani Dodoma Tarehe 7 Machi 2024 ikiwa ni Katika kuelekea Siku ya Wanawake Duniani
Naibu Katibu Tume ya Kurekebisha sheria Tanzania (LRCT) akiwa na watumishi wa Tume hiyo walipokwenda kukabidhi msaada katika kituo cha wenye Mahitaji Maalum Wazee Wasioona Matembe Bora kilichopo Buigiri mkoani Dodoma Tarehe 7 Machi 2024 Katika kuelekea Siku ya Wanawake Duniani
Baadhi ya Watumishi wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) waliposhiriki kikao kazi cha 4 cha Serikali Mtandao (eGA) Kilichofanyika Mwezi Februari 2024 katika ukumbi wa AICC Mkoani Arusha.