Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania

Miradi Inayoendelea

Mapitio ya Mfumo wa Sheria zinazosimamia Uwekezaji nchini


Madhumuni ya Mapitio ya Mfumo wa Sheria zinzosimamia Masuala ya Uwekezaji nchini ni kubainisha changamoto za kisheria na Kiutawala zinazoathiri Mfumo wa Uwekezaji nchini na kutoa mapendekezo kwa Serikali yatakayosaidia kuondoa vikwazo na changamoto za kisheria na kiutawala kwa lengo la kuweka manzigira ya kuwavutia wawekezaji ili kukuza uchumi wa nchi.