Saini ya kidijitali
eDodoso
Barua pepe
Mrejesho
ofisi Mtandao
Wasiliana nasi
ESS
evibali
SW
EN
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania
Mwanzo
Kuhusu Sisi
Majukumu
Dira na Dhamira
Historia ya Tume
Utawala
Muundo
Tume
Utawala
Vitengo/Sehemu
Elimu ya Sheria kwa Umma
Ukaguzi wa Ndani
Manunuzi na Ugavi
Sehemu ya Utawala na Rasilimali watu
Sehemu ya Uhasibu
Tehama
Mawasiliano Serikalini
Tathmini na Ufuatiliaji
Huduma za Sheria
Sehemu ya Mapitio ya Sheria
Sehemu Ya Uhakiki Ubora
Sehemu ya Tafiti za Kisheria
Sehemu ya Mipango na Uratibu
Sehemu ya Tathmini za Sheria
Idara
Idara ya Mapitio ya Sheria
Idara ya Utafiti wa Kisheria
Huduma za Taasisi
Sheria
Jinai
Madai
Sheria ya Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania
Kituo cha Habari
Taarifa kwa Umma
Maktaba ya Picha
Hotuba
Maktaba ya Video
Nyaraka za Kisheria
Mikataba ya Kikanda
Mikataba ya Kimataifa
Machapisho
Law Reformer Journal 2024
Vipeperushi
Katiba
Kanuni
Miradi
Iliyokamilika
Inayoendelea
Blogu
Utawala
Vitengo/Sehemu
Manunuzi na Ugavi
Ununuzi na Ugavi
Majukumu ya Kitengo cha Ugavi na Ununuzi
Mkuu wa Kitengo - Nessy E. Kyejo
Kusimamia ununuzi wowote na uuzaji wa mali za Wizara kwa njia ya Zabuni isipokuwa usuluhishi na kutunuku zabuni ;
Kuratibu shughuli za Bodi ya Zabuni ya Wizara;
Kutekeleza maamuzi ya Bodi ya Zabuni ya Wizara;
Kufanya kazi kama Sekritarieti ya Bodi ya Zabuni ya Wizara
Kuandaa mpango wa Ununuzi na Uuzaji wa mali za Wizara kwa njia ya Zabuni;
Kupendekeza ununuzi na uondoshaji wa mali za Wizara kwa utaratibu wa zabuni;
Kukagua na kuainisha upungufu wa mahitaji katika Wizara na kutoa tamko kuhusu mahitaji hayo;
Kuandaa nyaraka za zabuni kwa ajili wazabuni kushiriki;
Kuandaa matangozo ya fursa za zabuni;
Kuandaa rasmu za Mikataba;
Kutoa mikataba iliyothibitishwa na kusainiwa;
Kuandaa na kuhifadhi kumbukumbu za mchakato wa ununuzi na uuzaji wa mali za Wizara;
Kuandaa na kutunza orodha au kitabu cha mikataba yote ambayo Wizara imetunuku;
Kuandaa taarifa za kila mwezi kwa ajili ya Bodi ya Zabuni ya Wizara;
Kuandaa taarifa ya kila robo ya mwaka juu ya utekelezaji wa mpango wa ununuzi na kuwasilisha katika kikao cha menejimenti ya Wizara;
Kuratibu kazi za ununuzi na uondoshaji wa mali za serikali katika Idara na vitengo vyote vya Wizara; na
Kuandaa taarifa nyinginezo kadri zitakavyo hitajika muda wowote.