Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Tabora Mhe. Adam Mambi alipokua akiwasilisha mada ya matumizi ya teknolojia ya Akili Mnemba (AI) kwa Maafisa wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania tarehe 7 Agost 2025 ili kuwaongezea ujzi wanapotekeleza majukumu yao.
Mkurugenzi Msaidizi wa Haki za Binadamu Wizara ya Katiba na Sheria Bw. Richard Kisanga, alipotembelea bnda la Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, katika maonesho ya Nanenane Nzuguni Jijini Dodoma tarehe 6 Agosti 2025.
Mkuu wa wilaya ya Kongwa Mhe. Mayeka Mayeka alipotebelea banda la Tume ya KurekebishaSheria Tanzania katika maonesho ya Nanenane viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma tarehe 5 Agosti 2025.
Katibu Mtendji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, George Mandepo na baadhi ya viongozi wa Tume hiyo wakiwa na wageni kutoka Chuo Kikuu Mzumbe na Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo Dodoma walipotembelea ofisi za Tume hiyo tarehe 29 Julai 2025
Katibu Mtendji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, George Mandepo, akipokea Journal kutoka kwa Yulita Michael ambae ni Mkutubi kutoka Chuo kikuu cha Mzumbe alipotembelea ofisi ya Tume hiyo tarehe 29 Julai 2025.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, George Mandepo, aliesimama wa kwanza upande wa kulia akiwa na Maafisa kutoka katia Tume hiyo wakiwa nje ya Jengo la Redio Jamii TBC Dodoma tarehe 24 Julai 2025