Katibu mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Ndugu Griffin Venance Mwakapeje, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Natu El-Maamry Mwamba na Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Ndugu Emmanuel Mpawe Tutuba wakila Kiapo cha Maadili kwa Viongozi, Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 09 Januari, 2023
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Moses Mpogole Kusiluka, Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania Ndugu Emmanuel Mpawe Tutuba, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Natu El-Maamry Mwamba, Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Ndugu Griffin Venance Mwakapeje na Kamishna wa Maadili Mhe. Jaji Sivangilwa Mwangesi mara baada ya hafla ya Uapisho iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 09 Januari, 2023.
Watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa Wizara ya Katiba na Sheria
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha sheria Jaji (mst) January H. Msoffe akikabidhi taarifa ya tathmini ya mapitio ya sheria nane kwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mheshimiwa Geofrey Pinda.