Watumishi wa Tume wakiwa kwenye kikao cha wadau cha kukusanya maoni kuhusu mfumo wa sheria zinazosimamia masoko ya mazao ya kilichofanyika mkoani Arusha.
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza Mhe. Mary F. Masanja (aliyekaa watatu kutoka kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria
Mbunge wa Viti Maalum Jimbo la Mwanza Mhe. Mary F. Masanja (wa tatu kulia) na familia yake wakiwa kwenye picha ya pamoja na watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria.
Katibu wa Tume Bw. Casmir S. Kyuki (kulia) akiteta jambo na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza Mhe. CPA Mary F. Masanja
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi la Tumesheria na Menejimenti baada ya uzinduzi wa Baraza hilo
Watumishi wa Tume Ya Kurekebisha Sheria wakiwa kwenye picha ya pamoja na Katibu Mkuu wa wizara ya Katiba na Sheria Prof. Sufini Mchome wa nane kutoka kushoto baada ya kumaliza Kikao cha Baraza la wafanyakazi kilichofanyika katika Mamlaka ya Ngorongoro mwezi januari,2020