Katibu Mtendaji wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania Bw. George Mandepo, wa pili kutoka kulia, akiwa katika picha ya pamoja na Naibu katibu wa Tume hiyo Bi. Zainab Chanzi aliesimama kulia kwake pamoja na maafisa Sheria Baraka Chipamba na Vicky Mbunde, wakati katibu huyo alipotelembelea banda la Tume katika Maonesho ya Sabasaba Jijini Dar es salaam tarehe 7/7/2025.