Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Mary Makondo (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutembelea banda la Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania tarehe 8/07/2024
Mhe,Lusungu Hongoli Jaji wa Mahakama kuu ya Tanzania akipewa Maelezo na Afisa Sheria Ismail Hatib, alipotembelea Banda la Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania katika maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa Saba saba yanyoendelea jijini Dar es Salaam. Tarehe 05/7/2024
Naibu Katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Bi. Zainab Chanzi akigawa Viepeperushi kwa mwananchi aliefika kujifunza elimu ya Sheria mbali mbali katika Banda la Tume hiyo wakati wa maonesho ya 48 ya kimataifa ya Biashara Saba saba yanayoendelea Mkoani Dar Es Salaam.
Naibu katibu Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Bi. Zainab Chanzi akitoa elimu ya Sheria kwa Mwananchi aliyefika katika Banda la Tume hiyo wakati wa maonesho ya 48 ya kimataifa ya Biashara SabaSaba yanayoendelea Mkoani Dar es Salaam Tarehe 04/07/2024
Wananchi kutoka maeneo mbalimbali wakiwa katika Banda la Tume ya Kurekebish Sheria Tanzania hivi karibuni wakipata elimu ya sheria katika maonesho ya Sabasaba Jijini Dar Es Salam
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Jaji Winfrida Korosso akiongea wakati wa Mkutano na Kamisheni ya Tume hiyo uliofanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Morena iliyoko Morogoro Mjini.
waziri wa Katiba na Sheria Dkt Pindi Chana (katikati) akiwa na Mwenyekiti wa LRC Jaji wa Mahakama ya Rufani, Winfrida Beatrice Korosso, ( kushoto walikaa) , George Mandepo Katibu Mtendaji LRCT- Makamishna na watumishi wa Tume ya Kurerekibisha Sheria wakiwa katika picha ya pamoja baada ya uzinduzi wa kikao cha kamisheni ya Tume hiyo.
Waziri wa Katiba na Sheria Dr.Pindi Chana wakati wa uzinduzi wa kikao cha Kamisheni ya Tume ya Kurekebisha Sheria kilichofanyika tarehe 03/06/2024 katika ukumbi wa hoteli ya Morena Mjini Morogoro
Waziri wa Katiba na Sheria Dr.Pindi Chana wakati wa uzinduzi wa kikao cha Kamisheni ya Tume ya Kurekebisha Sheria kilichofanyika tarehe 03/06/2024 katika ukumbi wa hoteli ya Morena Mjini Morogoro
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzanania Bw, George Mandepo akimpa elimu ya sheria Mwananchi aliefika kupata huduma katika banda la Tume hiyo tarehe 28/5/2024 wakati kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid ikiendelea mkoani Njombe.
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe, Anthony Mtaka akisalimiana na Maafisa wa Tume ya Kurekebisha sheria Tanzania alipofika kutembelea banda la Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania tarehe 28/5/2024 katika viwanja vya Stendi ya zamani ya Mabasi mkoani Njombe ambako kampeni ya Msaada wa kisheria Mama Samia Legal Aid inaendelea mkoani humo.
Baadhi ya wananchi wa Njombe waliofika katika Banda la Tume ya kurekebisha sheria Tanzania na kupata elimu ya sheria katika kipindi hiki cha kampeni ya msaada wa kisheria Mama Samia Legal Aid Inayoendelea mkoani Njombe za tarehe 27/5/2024
Waziri wa Sheria na Katiba Balozi Dkt. Pindi Chana akisaini kitabu cha wageni tarehe 27/5/2024 baada ya kutembelea Banda la Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania katika Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campaign inyoendelea katika viwanja vya Stendi ya zamani ya Mabasi Mkoani Njombe.
Waziri wa Sheria na Katiba Balozi Dkt. Pindi Chana akisaini kitabu cha wageni tarehe 27/5/2024 baada ya kutembelea Banda la Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania katika Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campaign inyoendelea katika viwanja vya Stendi ya zamani ya Mabasi Mkoani Njombe.
Waziri wa Sheria na Katiba Balozi Dkt. Pindi Chana akisaini kitabu cha wageni tarehe 27/5/2024 baada ya kutembelea Banda la Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania katika Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campaign inyoendelea katika viwanja vya Stendi ya zamani ya Mabasi Mkoani Njombe.
Waziri wa Sheria na Katiba Balozi Dkt. Pindi Chana akisaini kitabu cha wageni tarehe 27/5/2024 baada ya kutembelea Banda la Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania katika Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campaign inyoendelea katika viwanja vya Stendi ya zamani ya Mabasi Mkoani Njombe.
Waziri wa Sheria na Katiba Balozi Dkt. Pindi Chana akisaini kitabu cha wageni tarehe 27/5/2024 baada ya kutembelea Banda la Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania katika Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campaign inyoendelea katika viwanja vya Stendi ya zamani ya Mabasi Mkoani Njombe.
Waziri wa Sheria na Katiba Balozi Dkt. Pindi Chana akisaini kitabu cha wageni tarehe 27/5/2024 baada ya kutembelea Banda la Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania katika Kampeni ya msaada wa kisheria ya Mama Samia Legal Aid Campaign inyoendelea katika viwanja vya Stendi ya zamani ya Mabasi Mkoani Njombe.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania George Mandepo (kushoto) akiwa na ma Afisa sheria wa Tume hiyo Ismail Hatib aliesimama kati na Anjela Shila wa mwisho upande wa kulia wakitoa elimu kwa mwananchi aleifika kupata huduma katika banda la Tume hiyo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya msaada ya kisheria Mama Samia Legal Aid mkoani Njombe tarehe 26/5/2024
Naibu Waziri wa Wizara ya Katiba na Sheria Mhe, Jumanne Sagini akiwa na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bi. Mary Gaspar walipotebelea Banda la Tume ya kurekebisha sheria Tanzania Katika Uzinduzi wa Kampeni ya Msaada wa elimu ya Kisheria Mama Samia Legal Aid iliofanyika mkoani Njombe tarehe 26 Mei 2024
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe, Jumanne Sagini alipotembelea Ofisi ya Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania ili kuzungumza na watumishi wa Tume hiyo tarehe 8 Mei 2024.
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe, Jumanne Sagini alipotembelea Ofisi ya Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania ili kuzungumza na watumishi wa Tume hiyo tarehe 8 Mei 2024.
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Gaspar Makondo alipotembelea ofisi za Tume ya kurekebisha Sheria na kuzungumza na Watumishi Tarehe 7 mei 2024.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Gaspar Makondo alipotembelea ofisi za Tume ya kurekebisha Sheria na kuzungumza na Watumishi Tarehe 7 mei 2024.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi. Mary Gaspar Makondo alipotembelea ofisi za Tume ya kurekebisha Sheria na kuzungumza na Watumishi Tarehe 7 mei 2024.