`Wanawake wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa maonesho ya siku ya wanawake Duniani 2025 yaliyofanyika katika viwanja vya Chinangali mkoani Dodoma.
Wanawake Kutoka Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania imetoa msaada wa mahitaji mbalimbli Katika Kituo cha wasioona watu wazima Buigiri Wilayani Chamwino Mkoani Dodom
Katibu Mtendaji Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Bw. George Mandepo akitekeleza majukumu yake.
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania ( Kulia) Mhe. Winifrida Korosso wakibadilishana mawazo na Katibu Mtendaji wa Tume hiyo, Bw. George Mandepo
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mhe. Winifrida Korosso akiwa katika majukumu yake