Jaji wa Mahakama kuu ya Tanzania Divisheni ya Ardhi Mhe.Eliamani Isaya Laltaika ambaye pia ni Mtafiti aliejikita katika Sheria ya Teknolojia na Habari (ICT Law) aliesimama (katikati) akiwa na Mkuu wa Idara ya Utafiti kutoka Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bi. Juliana Munis, aliesimama upande wa kushoto kwake, Wengine ni maafisa sheria wa Tume hiyo idara ya Utafiti wa Sheria, picha iliyopigwa baada ya kikao kazi kilichokua kikijadili kuelekea Utafiti kuhusu mfumo wa sheria wa kusimamia akili unde kilichofanyika tarehe 22 Agosti 2025.