Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania

Mipango

Kinaongozwa na (Mchumi Mkuu) - Fatma A. Said

Majukumu ya Idara ya Sera na Mipango

Majukumu

Kutoa ushauri wa kitaalam na huduma katika masuala ya sera na mipango; ufuatiliaji na tathminiMajukumu ya Divisheni

o;

iii)Kuratibu maandalizi ya mipango na bajeti ya Tume pamoja na kutekelezaji wake;

iv)Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa mipango na bajeti ya Tume na kuandaa taarifa;

vii)Kuratibu maandalizi ya hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria kuhusu bajeti ya Wizara; na mchango wa Wizara katika taarifa ya tathmini ya hali ya uchumi wa nchi;

viii)Kutoa ushauri wa kitaalam katika kuoanisha Mpango Mkakati wa Tume, mipango na bajeti kwa kila mwaka; na mfumo wa ufuatiliaji na tathmini