Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania

Miradi Inayoendelea

Tathmini ya Utekelezaji wa Sheria zinazosimamia Hakimiliki na Hakishiriki


Madhumuni ya Tathmini hii ni kubainisha mafanikio na changamoto zinazokabili utekelezaji wa sheria zinazosimamia Hakimiliki na Hakishiriki kwa Wasanii wa Muziki na Filamu nchini ili kutoa mapendekezo yatakayosaidia kuboresha utekelezaji wake kwa lengo la kufikia madhumuni ya kutungwa kwa sheria.