Katibu Mtendaji Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. George Mandepo akiwahutubia wadu wakati ukusanyaji wa maoni kuhusu mfumo wa sheria zinazosimamia masuala ya nishati,viwanda, Biashara na Uwekezaji, kikao kilichofanyika tarehe 20.06.2026 kwenye ukumbi wa mikutano wa APC Bunju Mkoani Dar es Salaam.