Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Bw. George Mandepo akiwa na wajumbe wa kikao kazi waliohudhuria kikao hicho kujadili kuhusu mfumo wa sheria zinazosimamia masuala ya Nishati pamoja na mfumo wa Sheria za Viwanda, Biashara na Uwekezaji , kilichofanyika tarehe 18/6/2026 katika Hotel ya Apc Bunju Jijini Dar es salaam.