Naibu Waziri Wizara ya Katiba na Sheria Mhe. Zainab Katimba, akipokea Law reformer Journal kutoka kwa maafisa sheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, alipotembelea banda la Tume hiyo Julai 1, 2026 lilipo katika ukumbi wa China Pavillion wakati wa Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika Viwanja vya Sabasaba Jijijini Dar Es Salaam.