Baadhi ya viongozi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakifuatilia mkutano wa tano wa serikali mtandao uliofanyika tarehe 11/2/2025 katika ukumbi wa Kimataifa wa mikutano Arusha ( AICC)
Baadhi ya watumishi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakifuatilia kwa makini mawasilisho mbalimbali yaliyotolewa katika mkutano wa tano wa serikali mtandao uliofanyika tarehe 11/2/2025 katika ukumbi wa Kimataifa wa mikutano Arusha ( AICC)
Profesa Elisante Ole Gabriel ( kulia ) akiongea na Mkuu wa Kitengo cha Uthibiti Ubora cha Tume ya Kurekebisha Sheria Saada Bushiri wakati wa maadhimisho ya wiki ya sheria yanayofanyika mjini Dodoma
Dodoma Jogging club katika picha ya pamoja na wanasheria wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania baada ya kupatiwa elimu wakati wa maadhimisho ya wiki ya sheria yaliyofanyika katika uwanja wa Nyerere Square Dodoma
Maafisa bajeti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiwa katika kazi ya kupanga Maoteo ya Bajeti ya mwaka wa Fedha 2025-2026 mkoani Arusha
Maafisa bajeti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiwa katika kazi ya kupanga Maoteo ya Bajeti ya mwaka wa Fedha 2025-2026 mkoani Arusha
Maafisa bajeti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiwa katika kazi ya kupanga Maoteo ya Bajeti ya mwaka wa Fedha 2025-2026 mkoani Arusha
Maafisa bajeti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiwa katika kazi ya kupanga Maoteo ya Bajeti ya mwaka wa Fedha 2025-2026 mkoani Arusha
Maafisa bajeti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiwa katika kazi ya kupanga Maoteo ya Bajeti ya mwaka wa Fedha 2025-2026 mkoani Arusha
Naibu katibu Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Zainab Chanzi (alivaa mtandio) akiwa na afisa sheria kutoka tume hiyo Jackline Nungu upande wa kulia kwake katika studio za Redio Chemchemi Fm iliyopo mjini Sumbawanga mkoani Rukwa kutoa elimu ya sheria kwa Umma tarehe 1 Novemba 2024.
Naibu katibu Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Zainab Chanzi akiwa na afisa sheria kutoka tume hiyo Jackline Nungu upande wa kulia kwake Octoba 31,2024 wakiwa katika studio za Redio VOS Fm iliyopo mjini Sumbawanga mkoani Rukwa kutoa elimu ya sheria kwa Umma
Naibu katibu Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Zainab Chanzi (kati kati) akiwa na afisa sheria kutoka tume hiyo Jackline Nungu kushoto kwake pamoja na Mtangazaji wa Redio Joy Fm, Olida Sayoni, Octoba 28,2024 wakiwa katika studio za Redio Joy Fm mkoani kigoma kutoa elimu ya sheria kwa Umma
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Jaji Beatrice Korosso wakibadilishana mawazo na Katibu Mtendaji wa Tume hiyo Bw. George Mandepo wakati wa Kikao kazi cha Kamisheni ya Tume hiyo kilichofanyika hivi karibuni kwenye ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Flomi iliyopo mkoani Morogoro.
Kamisheni ya Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa Hoteli ya Flomi Mkoani Morogoro tarehe 21.10.2024 wakati wa kujadili mapendekezo yamaboresho ya sheria ya Takwimu na Sheria ya Uwekezaji.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akiwa na viongozi mbali mbali alipopokea ripoti 8 za mapitio ya sheria mbalimbali kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mhe. Jaji Winfrida Korosso iliofanyika katika ukumbi wa Wizara hiyo mji wa serikali Mtumba mkoani Dodoma tarehe Octoba 16, 2024.
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akipokea ripoti 8 za mapitio ya sheria mbalimbali kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mhe. Jaji Winfrida Korosso iliofanyika katika ukumbi wa Wizara hiyo mji wa serikali Mtumba mkoani Dodoma tarehe Octoba 16, 2024.
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) Bw. George Mandepo kati kati akiwa na maafisa wa Tume hiyo walipotembelewa na maafisa kutoka LHRC tarehe 7 Octoba 2024 aliesimama upande wa kulia kwake ni Wakili Hidaya Haonga ambae ni Mratibu wa ofisi ya kituo cha Sheria na Haki za Binadamu Dodoma.
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria na Maendeleo ya Jamhuri ya watu wa Namibia Bw. Etuna Joshua kwa lengo akipokea zawadi kutoka kwa Kaimu Mkuu wa sehemu ya uthibiti ubora Wakili Saada Bushiri katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Tume ya kurekebisha sheria Tanzania
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) na Tume ya Kurekebisha Sheria na Maendeleo ya Jamhuri ya watu wa Namibia wakiwa katika picha ya pamoja wakiwa katika hoteli ya Midland iliyopo Mjini Dodoma
Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania (LRCT) na Tume ya Kurekebisha Sheria na Maendeleo ya Jamhuri ya watu wa Namibia walipotembelea ujenzi wa ofisi ya LRCT hivi karibuni inayoendelea katika mji wa serikali Mtumba Dodoma .
Maafisa Sheria kutoka Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania wakitoa Elimu ya Sheria na kugawa Vipeprushi kwa wananchi wakati wa kufunga Tamasha la utamaduni la tatu kitaifa lililofanyika katika Uwanja wa Majimaji Songea mkoani Ruvuma tarehe 23 Septemba 2024
Waziri wa Sanaa, Utamaduni na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro akipokea Law Reformer Journal alipotembelea banda la Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania tarehe 22/9/2024 wakati wa Tamasha la tatu la Utamaduni kitaifa likiendelea katika uwanja wa Majimaji Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma ambapo Tume ilishiriki kwa lengo la kutoa Elimu ya Sheria kwa Umma.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari akipokea Law reformer Journal aliyokabidhiwa na Mwenyekiti wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania Mh. Jaji, Winfrida Korosso baada ya kuzinduliwa rasmi mapema leo 21 Agost 2024 Mkoani Dodoma
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari akipokea Law reformer Journal aliyokabidhiwa na Mwenyekiti wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania Mh. Jaji, Winfrida Korosso baada ya kuzinduliwa rasmi mapema leo 21 Agost 2024 Mkoani Dodoma
Tume ya Kurekebisha Sheria yazindua Law reformer Journal Tarehe 21 Agost 2024 Mkoani Dodoma