Mwenyekiti waTume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Winifrida Beatrice Korosso, (Katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria (kushoto) na Mtendaji Mkuu wa Tume hiyo (kulia) Bw. George Mandepo pamoja na viongozi mbalimbali wa Wizara hiyo baada ya kumaliza kikao kazi kilichofanyika tarehe 06/02/2026 katika ukumbi wa mikutano wa Wizara ya Katiba na Sheria iliyoko Mtumba Mjini Dodoma.