Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Balozi Baraka Haran Luvanda akipokea Law Reformer Journal alipotembelea banda la Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, katika Maonesho ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi (Nanenane) yaliyofanyika Viwanja vya Dkt. John Samuel Malecela, Jijini Dodoma tarehe 8/8/2026