Mkuu wa Mkoa Morogoro Mhe. Adam Malima, alipotembelea banda la Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, tarehe 28 Novemba 2025 katika Maonesho ya kibiashara yaliyoratibiwa na Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) yanayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.