Naibu katibu wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania, Bi. Juliana Munis wa pili kutoka upande wa kulia na Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi Bw. Mohamed Mavura, wa pili kutoka upande wa kushoto, wakifuatilia mijadala ya Bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria wakati wa mkutano wa Kumi na Tisa, kikao cha Kumi na Tano cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichofanyika tarehe 30 Aprili,2025.